Changamoto nyingine ambayo watu wengi wanakutana nayo haswa wale wanaokua na mabo mengi ni usahaulifu wa password am walizoweka kwenye simu zao.
apa utapata maujanja ni kwa namna gani unaweza kuchomoka kwenye janga hili na ukawa umeokoa siku yako.
njia ya kwanza:- hii inafanya kazi kama unatumia adroid version za nyuma kidogo kama hujui unatumia adroid gani unaweza kujaribu njia hii kwanza kwa kua ni nyepesi zaidi. apa utakachofanya ni kujaribu kuweka password ambayo sio sahihi mara nyingi na mwishoni utapata jumbe inayokuelekeza kuwa umejaribu kuweka password mara nyingi na ufungue kwa email address
kwa kuwa utakuwa unakumbuka email na password yako ya gmail ukiweka api simu yako itafanikiwa kufunguka na utaendelea ku enjoy kama kawa
njia ya pili:- hii inatumika kwa wale wanaotumia adroid version mpya mpya na kama maujanja ya kwanza hayajafanya kazi basi hii itamaliza shida. zingatia kwamba njia hii itafuta data zote kwenye simu yako na itakuwa kama simu mpya.
utabonya vitufe vitatu kwa mara moja kwenye simu yako ukiwa inaiwasha yaani kitufe cha kuongeza sauti na cha (kuzima / kuwasha) pamoja na home
kila kitu kikienda sawa simu itakupeleka kwenye recovery mode apo utakuwa unachagua sehehu inayosema (wipe data factory reset) utatumia kitufe cha kuongeza / kupunguza sauti katika kupanda ama kushuka na kitufe cha kuzimia/kuwashia simu kwa kuchagulia chaguzi
kwa kufanya hilo zoezi utakuwa uweshafuta simu yote na utaanza upya na settings kama ilivyokua mpya.
kwa apo utakuwa umefnikiwa pia ku rekebisha simu yako. ukiweka password mpya hakikisha una hifadhi maala kuepuka kupoteza taarifa zako muhimu mara kwa mara.
kama unaswali ama haujaelewa mahali vizuri acha commet yako hapa chini
Nimesahau password ya file langu kwenye computer nifanye nini
ReplyDeleteUkifika hapo inakuletea FRP...shida inaanza upya
ReplyDelete