karibu text

KARIBU computerdevicedr

MAUJANJA BLOG

Uwanja wako pekee wa kupata maujanja mbali mbali kuhusu computer/device yako katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoweza kujitokeza kwenye matumizi ya computer/device yako. tuachie Maoni kwa jambo linalokutatiza Usaidike



Sunday 6 May 2018

MAUJANJA 8TOKA KWA KEYBOARD YAKO YATAKAYO RAHISISHA MAISHA

Tumekua na mazoea ya kutumia keyboard na mouse katika kazi zetu nyingi tunatozifanya kwenye computer zetu. kuna baadhi ya program bado zinaweza kukupa changamoto kufanya kazi yako kwa haraka zaidi kama hutofamu maujanja ya utumiaji wa keyboard yako kukurahisishia Maisha. 

Leo tutawaletea maujanja 8toka kwa keyboard yako ambayo bila kuwa nayo unaweza kujikuta unakwama ama unachukua muda mrefu sana kufanya jambo moja dogo kwenye baadhi ya program 

maujanja 
1ctrl + a= hutumiaka kuchagua kilakitu, yaweza kuwa ni maandishi ana ata ma file au ma folder 
(cmd + a) kwa computer za apple 

2. ctrl + c = hutumika ku copy taalifa unazotaka baada ya kuwa umesha zichagua
(cmd + c) kwa computer za apple

3. ctrl +v = hutumika ku paste taarifa zako
(cmd +v ) kwa computer za apple 

4. PC : Ctrl + Z au Ctrl + Y = hutumika kwa ku undo ama ku redo changes. ambapo Ctrl + z = undo na Ctrl + y = redo 
kwa computer za Apple: Cmd + Z au Cmd + Y

5. PC: Ctrl + Home or Ctrl + End = hutumika kuhamisha cursor mwanzo ama mwishoni kwa document, ambapo Ctrl + Home = mwanzo wa document na Ctrl + End mwiho wa document 
kwa computer za apple : Cmd + up arrow or Cmd + down arrow

6. PC Shortcut: Ctrl + S and Ctrl +P = Hutumika kwa ku save ama ku print, ambapo Ctrl +S = Save na Ctrl + p = print 
Apple computers: Cmd + S and Cmd + P

Windows computers: Ctrl + F = hudumika kwa kutafuta neon kwa document au ata file ama folder 
kwa computer za Apple  : Cmd + F

8 Watumiaji wa apple computers waweza kufungua tab mpya kwenye google crome kirahisi kwa Cmd + t na kufunga tab kwa  Cmd + w.

hayo ni maujanja 8 yanayoweza kufanya siku yako ikawa nyepesi kabisa.. kama una swali ama una maujanja mwngine makali unaweza ukaacha comments apo chini 

No comments:

Post a Comment