Norton security ni latest computer software security suite iliyotolewa na wakongwe symentic. inafanya kazi na ms windows, mac os x, android, and ios platforms. zinapatikana kwa editions 3, norton security standard, norton security deluxe, na norton security premium.
norton security standard kwa 1 device, norton security deluxe kwa 5 devices, na norton security premium kwa mpaka 10 devices.
pia zinapatikana kwa (special editions)
NAMNA YA KUFANYA INSTALLATION
unaweza ku install kwa online ama kutoka kwa cd uliyonunua kutoka kwa dealer (tucheki computerdevicedr 0767240679- tunazo kwa bei nafuu sana)
https://computerdevicedr.wixsite.com/tanzania/shop
https://computerdevicedr.wixsite.com/tanzania/shop
tunaanzan na ku install kutoka kwenye cd moja kwa moja, utaweka cd ya norton security kwenye computer yako, na baada ya muda kidogo kawa kawaida ya installations tulivyozoea ita pop window ambayo ita ku guide kwenye installation nzima.
Hatua ya mwishoni utapata muongozo wa ku log in na norton account kama huna utatakiwa kufungua norton account mpya.
Apa utajiuliza kwa nini ufungue account?...... account ya norton security ina msaada mkubwa sana kwenye installation za norton security pale ambapo una install kwenye device zaidi ya moja.
Pia itakusaidia endapo device yako imepata shida ukaitaji ufanye installation upya norton security ata kama umesahau/umepoteza KEY ukiwa na account ya norton security uki log in umemaliza kila kitu kinajiweka sawa.
Si ivyo tu pia ukuwa una install device zaidi ya moja na una KEY ya device zaidi ya moja pia uki log in tu kwa norton security kutumia na accounti yako wakati una install device nyingine kila kitu kinakuwa activated automatically.
Nilichopenda zaidi ni kwamba mfano kama ume install kwenye computer yako ya home na umesafiri ghafla na laptop yako na hautaki ku risk lakini hujapata mda wa kununua norton security fasta fasta kwenye laptop, unaweza uka download kutoka internet alafu uka log in kwa ile account ya computer yako ya home na fasta utapewa option kama unataka kuamisha license na ukikubali laptop inakuwa full activated kutumia licence ya kwenye computer ya home na Maisha yanaenda saaaafiii😎😎😎😎😋….. norton aisee chiboko kweli mkongwe mkongwe tu.
Apa utajiuliza kwa nini ufungue account?...... account ya norton security ina msaada mkubwa sana kwenye installation za norton security pale ambapo una install kwenye device zaidi ya moja.
Pia itakusaidia endapo device yako imepata shida ukaitaji ufanye installation upya norton security ata kama umesahau/umepoteza KEY ukiwa na account ya norton security uki log in umemaliza kila kitu kinajiweka sawa.
Si ivyo tu pia ukuwa una install device zaidi ya moja na una KEY ya device zaidi ya moja pia uki log in tu kwa norton security kutumia na accounti yako wakati una install device nyingine kila kitu kinakuwa activated automatically.
Nilichopenda zaidi ni kwamba mfano kama ume install kwenye computer yako ya home na umesafiri ghafla na laptop yako na hautaki ku risk lakini hujapata mda wa kununua norton security fasta fasta kwenye laptop, unaweza uka download kutoka internet alafu uka log in kwa ile account ya computer yako ya home na fasta utapewa option kama unataka kuamisha license na ukikubali laptop inakuwa full activated kutumia licence ya kwenye computer ya home na Maisha yanaenda saaaafiii😎😎😎😎😋….. norton aisee chiboko kweli mkongwe mkongwe tu.
kwa installation ya kwenye mobile device utaingia kwenye app store yako na ku download norton security kisha install na utamaliza kwa kuweka key ambayo umepata wakati wa kunua.
mpaka apo. utakuwa umeshamaliza installation yako. kama hko na sawali acha comment yako apo chini.
Your article is extremely good.I love to read your blog's posts everyday and I got huge help from your blog and developed a new app download dragon city for pc you can check.Thanks for amazing blog.
ReplyDelete