HDD SDD
HDD - HARD DISK DRIVE
SSD - SOLID STATE DRIVE
Hizi zote mbili zinafanana katika nini kazi yake kwenye computer zetu, zote kazi yake ni kuifadhi taalifa tunazo save kwenye computers.
Utofauti hapa ni technology tu kama tulivyozoea toka awali HDD - hard disk drives ndizo technology ya kwanza katika nyanja hii ya storage.
Kama tunavyofahamu HDD zimeundwa kuifadhi data kutumia mechanical (moving parts) read / write head, na spinning plate lakini tofauti na SSD hizi hazijaundwa kwa mfumo huo zenyewe huifadhi data kwa mtindo wa wa microchips kama vile flash drives.
kwenye SDD kwa kuwa hakuma moving parts ni microchips, hivyo hapa inaongeza hufanisi zaidi hususani katika swala zima la kusoma ama kuandika data.
Hivyo ndio kusema kwamba ukiwa na SSD kwenye computer yako ama laptop utabaini kwamba computer inawaka kwa haraka zaidi na unafungua program kwa haraka zaidi kuliko HDD
Kwa sasa SSD Technology inaonekana kushika kasi zaid maana kwenye computer zilizopo sokoni sasa ivi zinakuja na SSD hususan laptop, ingawa bado hazijaanza kutoka kwa size kubwa kubwa kama tulivyozoea kwenye HDD.
Tofauti nyingine ni upande wa bei, ambapo DRIVE zinazotumia SSD technology zinakuwa na bei kubwa zaidi kuliko HDD wakati mwingine ata kama HDD ni kubwa kwa size.
ni hayo tu kwa uchache kuhusu HDD na SDD. kama una swali unataka kujua zaidi tuachie comment apo chini
Je unaweza kubadili laptop kutoka mfumo wa SSD na kutumia HDD
ReplyDelete