karibu text

KARIBU computerdevicedr

MAUJANJA BLOG

Uwanja wako pekee wa kupata maujanja mbali mbali kuhusu computer/device yako katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoweza kujitokeza kwenye matumizi ya computer/device yako. tuachie Maoni kwa jambo linalokutatiza Usaidike



Friday 20 July 2018

TIGO JIHUDUMIE

umeshawahi kukosea kutuma pesa na bado ukawa UNATABASAMU?

(HAYO SASA YANAWEZEKANA KUTOKA TIGO KUPITIA TIGO JIHUDUMIE)
Kampuni ya simu ya Tigo imeanzisha huduma inayoitwa JIHUDUMIE ambayo itamsaidia mteja aliyetuma muamala wa fedha kimakosa kuweza kurejesha fedha zake kwa njia rahisi na haraka zaidi.
Mteja akikosea kutuma pesa hahitaji msaada wa moja kwa moja kutoka kitengo cha huduma kwa wateja bali atapiga menyu ya Tigo pesa (*150*01#) kisha atachagua huduma ya Jihudumie na kufuata maelekezo yatakayojitokeza kuwezesha kurudisha muamala wake.
Kwa sasa Mteja ataweza kurejesha miamala ya tigo kwenda tigo.

kama una mawsali zaidi juu ya Huduma hii mpya toka tigo acha comments zako apo chini 

1 comment:

  1. Line yangu nimeifungia naomba umifungulie

    ReplyDelete