Baada ya baadhi ya makampuni makubwa ya simu ikiwemo Samsung kuonyesha simu za kisasa za kukunja ambazo zinaonyesha kuleta mapindizi makubwa kwenye uwanja wa smartphones.
nayo kampuni ya huwawei haijabaki nyuma kwa kuwa nayo ivi karibuni imeamua kuonyesha simu ya kukunja ambayo pia ni ya kwanza kuwa na 5g toka kampuni hiyo. (Huawei Mate x 5G)
nayo kampuni ya huwawei haijabaki nyuma kwa kuwa nayo ivi karibuni imeamua kuonyesha simu ya kukunja ambayo pia ni ya kwanza kuwa na 5g toka kampuni hiyo. (Huawei Mate x 5G)
Huawei Mate X ni nyembaba hatari ni 5.4mm, 6.6 inch 19.5:9 OLED display ikiwa na 2480 x 1148 pixels resolution wakati ikiwa imekunjwa , 6.38 inch OLED 25:9 display ikiwa na 2480 x 892 pixels resolution kwa panel ya njyuma na 8 inch OLED 8:7.1 display ikiwa na 2480 x 2200 pixels resolution wakati ikiwa imekunjuliwa .
kwa maelezo rahisi , device winakuja na 6.6 inch OLED screen on the front pamoja na 6.38 inch screen upande wa nyuma ikiwa imekunjuka, imbayo inafanya 8 inch display ikiwa imekunjuka . Huawei imetumia Falcon Wing designpamoja na stretchable hinge ambayo iinapelekea device kuwa flat na smooth pande zote.
pata video uione kidogo video toka :(The Tech Chap)
pata video uione kidogo video toka :(The Tech Chap)
No comments:
Post a Comment