kingine cha kwanza bomba toka Tigo.
Mara kwa mara kampuni ya simu za mkononi tigo imekuwa mstari wa mbele katika kuwapa walaji wake Huduma bomba zaidi.
kwa mara nyingine tena kampuni hii inakuwa ya kwanza Tanzania kuanzisha Huduma ya 4G+ Huduma ya internet itakayonfanya Mteja wa tigo ku enjoy mtandao wa internet kwa speed kasi mara mbili zaidi kuliko ilivyo kwa 4G ya kawaida
4G+ inakimbiza hadi 120 mbps ivyo kufanya Wateja wa Tigo sasa kufanya mambo mengi zaidi na kwa haraka zaidi mtandaoni.
Pamoja na kupata mwendo kasi mkubwa zaidi kuliko mitandao mingine Wateja wa tigo watalipa ghalama zile zile nafuu kabisa toka tigo.
Ili Mteja aweze ku faidi Huduma hii ya 4G+ anatakiwa tu kuwa na device inayo support Huduma hii na kuwa katika eneo linalotoa speed ya 4G+
ili kubaini kama device yako ina support hudumaa hii kwanza angalia imei yako kwa kubonya *#06#
kisha ingiza tarakimu nane za mwanzo hapa
kama device yako hai support Huduma hii usikonde cheki hapa ujionee device bomba utakazo zipata maduka ya tigo kwa bei bomba sana.
ukiwa na swali acha cooment yako apo chini kama kawa tutasema nayo.
Waweza piga 0658000097 tuchonge.
No comments:
Post a Comment