karibu text

KARIBU computerdevicedr

MAUJANJA BLOG

Uwanja wako pekee wa kupata maujanja mbali mbali kuhusu computer/device yako katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoweza kujitokeza kwenye matumizi ya computer/device yako. tuachie Maoni kwa jambo linalokutatiza Usaidike



Sunday 27 January 2019

MICROSOFT WATASITISHA KU SUPPORT WINDOWS 7

kwa wale watumiaji wa windows 7 sasa ni wakati muafaka wa kufanya upgrade kwa kuwa Microsoft wametangaza rasmi kuwa kuanzia mwakani jan 14, 2020 hawata support windows 7, hii inamaanisha hakutakuwa na security updates fixes kwa operating system hii. (windows 7)
Ni wakati muafaka sasa kuweza kuama ama kuamisha kampuni yako toka kwenye windows 7 kwenda windows 10.
"mabadiliko kwenye technology hayaepukiki" alisema hayo Brad Anderson corporate vice president for Microsoft 365, kwenye blog 
Microsoft wataendelea ku support windows 7 kwa business users ambao wanalipia na sio kwa individual ussers.
windows 7 ilitoka tangu mwaka 2009 lakini bado ni operating system  inayotumika zaidi kwenye desktop/laptop za watu binafsi na hata kwenye makampuni  hadi sasa.
kwa kuanzia kufanya upgrade ya windows 7 kenda windows 10 tembelea apa kisha bonya download chini kidogo ya (Create Windows 10 installation media).
Apa utaweza ku download tool ambayo itakuwezesha kufanya upgrade ya windows yako. run iyo tool kisha chagua upgrade this pc option kisha fuata maelezo.