Baada ya tetesi za muda mrefu hatimae Samsung yaamua kuonyesha simu yao ya kukunja ya kwanza kabisa kwenye matoleo yake ya simu.
simu hii itakuwa na uwezo wa kukunjwa kuwa kama simu ya kawaida na pia ukiikunjua inakua as tablet.
Mambo haya ya kimaajabu yamewezekana kwa kua Samsung itatumia technologia yake mpya ya vioo (infinity flex Display).
Mambo haya ya kimaajabu yamewezekana kwa kua Samsung itatumia technologia yake mpya ya vioo (infinity flex Display).
Pia inasemekana kwa kutumia technology hii ya infinity flex display kwenye simu utaweza kufunga na kufungua simu mara nyingi upendavyo bila madhala yoyote.
mcheki mzee mzima Justin Dension, Samsung senior vice president (mobile marketing) ameionyesha simu hiyo kwa mara ya kwanza huku ikiwa imefichwa kwenye cover jeusi, na kufanya ule muonekano halisi kwa maana ya umbo lake bado halijaonekana.
Sambamba na haya kuna maboresho mengi mno Samsung inaendelea kufanya kwenye device zake zinazo kuja, endelea kutufuatilia kwa mengi zaidi.