karibu text

KARIBU computerdevicedr

MAUJANJA BLOG

Uwanja wako pekee wa kupata maujanja mbali mbali kuhusu computer/device yako katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoweza kujitokeza kwenye matumizi ya computer/device yako. tuachie Maoni kwa jambo linalokutatiza Usaidike



Friday 21 September 2018

INSTALL ADROID 8 (OREO) AU ADROID 9 (PIE) KWA DEVICE YAKO YA ZAMANI

Kwa wale ambao bado wanatumia adroid devices za zamani kuanzia device za mwaka 2014 kushuka chini katika hali ya kawaida device izo zimekuwa zikibaki nyuma kwa kutumia android za version ya nyuma.
hivyo kufanya watumiaji wa device izo wengi kushindwa ku enjoy features mpya zinazokuja kila wakati toka kwa adroid versions mpya.
Wapo wanaoamua kuuza device zao ata kama bado wanazipenda na kulazimika kununua device mpya yote kwa sababu tu waweze kupata mambo mazuri toka kwenye adroid versions mpya. (mfano kwa sasa kuna adroid 8 oreo na Adroid 9 pie) ambapo device nyingi za zamani bado zimenasa kwenye adroid 6 marshmallow na chache zimejikongoja mpaka Android 7 Nougat.





Android zote mpya zimekuja na features nyingi mpya na kali zaidi kuliko kwenye adroid zilizopita.
Pamoja na features nyingi mpya pia zinafanya device yako kuwa na perfomance bomba zaidi bila kuliko mwanzo 

Leo tutapata kufaham namna gani tunaweza kupandisha android kwenye device zetu za zamani mpaka android 8 au 9

Tools za kuwa nazo ili kufanikisha
1. Custom recovery - link 
2. Lineage OS - link 
3. Google Apps - link
GAPPS zinazopendekezwa - link

kabla hujaanza chochote hakikisha device yako ina battery ya lutosha walau 60% kuepuka ku haribu kabisa 

Hatua
1. Download tools zote 3
2. Hakikisha unafanya backup ya device yako kwanza
2. Hatua inayofuata ni ku flash custom recovery
3. Kisha copy lineage OS na GApps kwenye device yako
4. Zima device yako kisha ipeleke kwa recovery mode. 
5. Anza kwa ku wipe factory
6. mwisho anza ku flash file moja moja kuanzia na lineage os kisha gapps

Baada ya kumaliza ku flash file zote mbili kama nilivyo eleza apo juu ukianza na lineage na kumaliza na gapps, uta re start device yako.
Muwako wa kwanza unaweza kuchukua muda kidogo so usipanic relax mpaka upate setup menu.
mpaka hapo mambo yatakua fureshi enjoyyy
kama una swali hujaelewa kufanya jambo lolote kati ya mambo tajwa apo juu, au umefanya jambo na umekwama maala usisite tuachie comment apo chihi…

Saturday 15 September 2018

TIGO YAZINDUA 4G+

kingine cha kwanza bomba toka Tigo.
Mara kwa mara kampuni ya simu za mkononi tigo imekuwa mstari wa mbele katika kuwapa walaji wake Huduma bomba zaidi.
kwa mara nyingine tena kampuni hii inakuwa ya kwanza Tanzania kuanzisha  Huduma ya 4G+ Huduma ya internet itakayonfanya Mteja wa tigo ku enjoy mtandao wa internet kwa speed kasi mara mbili zaidi kuliko ilivyo kwa 4G ya kawaida 
  
4G+ inakimbiza hadi 120 mbps ivyo kufanya Wateja wa Tigo sasa kufanya mambo mengi zaidi na kwa haraka zaidi mtandaoni.
Pamoja na kupata mwendo kasi mkubwa zaidi kuliko mitandao mingine Wateja wa tigo watalipa ghalama zile zile nafuu kabisa toka tigo.

Ili Mteja aweze ku faidi Huduma hii ya 4G+ anatakiwa tu kuwa na device inayo support Huduma hii na kuwa katika eneo linalotoa speed ya 4G+

ili kubaini kama device yako ina support hudumaa hii kwanza angalia imei yako kwa kubonya *#06#
kisha ingiza tarakimu nane za mwanzo hapa
kama device yako hai support Huduma hii usikonde cheki hapa ujionee device bomba utakazo zipata maduka ya tigo kwa bei bomba sana.

ukiwa na swali acha cooment yako apo chini kama kawa tutasema nayo.

Waweza piga 0658000097 tuchonge.